Tuna kila sababu ya kusema Mungu asante kwa kila hatua tunayoipitia, tunaamini kuwa kupitia maombezi ya Mtakatifu Lucia, tutasimama imara katika kumteteaYesu Kristu aliye njia ya kweli na uzima. Na pia kulitangaza neno la Mungu kwa njia ya uimbaji. Tunaziombea kwaya zote ziweze kuinjilisha katika Roho na Kweli. Amina
Haya ni mahudhurio ya kawaida kwa sauti ya kwanza
Hawa ni baadhi ya sauti ya Pili
Hawa ni baadhi ya Sauti ya Tatu
Na hawa ndio baadhi ya wababa wa kwaya(yaani sauti ya nne)
No comments:
Post a Comment