Thursday, February 26, 2015

MUNGU ASANTE

Tuna kila sababu ya kusema Mungu asante kwa kila hatua tunayoipitia, tunaamini kuwa kupitia maombezi ya Mtakatifu Lucia, tutasimama imara katika kumteteaYesu  Kristu aliye njia ya kweli na uzima. Na pia kulitangaza neno la Mungu kwa njia ya uimbaji. Tunaziombea kwaya  zote ziweze kuinjilisha katika Roho na Kweli. Amina
 
Haya ni mahudhurio ya kawaida kwa sauti ya kwanza

 Hawa ni baadhi ya sauti ya Pili

Hawa ni baadhi ya Sauti ya Tatu

Na hawa ndio baadhi ya wababa wa kwaya(yaani sauti ya nne)

No comments:

Post a Comment